Hata hivyo, Mholanzi huyo amesema Costa hayumo hatarini na anatarajiwa kufanya mazoezi madogo leo jioni na kisha kujiunga na wachezaji wenzake hotelini.
Costa anatarajiwa kucheza mechi ya Jumamosi dhidi ya Newcastle.
Hiddink amesema Costa aliumia kimakosa akijaribu kupiga mpira wa kichwa.
![](https://usatftw.files.wordpress.com/2015/09/1415455640601_wps_20_8th_november_2014_barclay.jpg?w=1000&h=600&crop=1)
Kuhusu beki wa Ufaransa Kurt Zouma, Hiddink amesema mchezaji huyo hataweza kucheza tena msimu huu baada ya kuumia kwenye goti wakati wa mechi dhidi ya Manchester United.
Hata hivyo, amesema klabu hiyo itatumia wachezaji chipukizi kuziba pengo atakaloacha.
No comments:
Post a Comment