
Aguero, Staa wa Kimataifa wa Argentina, amezikosa Mechi 4 zilizopita za Man City baada ya kuumia kifundo cha Mguu lakini amerejea Mazoezini na yupo fiti kucheza Mechi.
Kwenye Msimamo wa Ligi Kuu England, baada ya Mechi 16, Leicester City ndio wako kileleni wakiwa na Pointi 35, wakifuatiwa na Arsenal wenye 33, City 32 na Man United 29.
RATIBA
Jumamosi Desemba 19
18:00 Chelsea v Sunderland
18:00 Everton v Leicester
18:00 Man United v Norwich
18:00 Southampton v Tottenham
18:00 Stoke v Crystal Palace
18:00 West Brom v Bournemouth
20:30 Newcastle v Aston Villa
Jumapili Desemba 20
16:30 Watford v Liverpool
19:00 Swansea v West Ham
Jumatatu Desemba 21
23:00 Arsenal v Man City
No comments:
Post a Comment