Louis Van Gaal akiwapungia Mkono Mashabiki kwenye Uwanja wa Old Trafford leo baada ya mchezo kumalizika 0-0 dhidi ya Chelsea.
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.
Akizungumza baada ya mchezo kumalizika Van Gaal alisema "kama wachezaji wanaweza kucheza kwa kiwango kile wakiwa kwenye shinikizo hakuna sababu ya kujizulu".
Kocha huyo amekua kwenye shinikizo kubwa ya kumtaka kujiuzulu kufuatia kikosi hicho kuchapwa michezo minne mfululizo kipigo cha mwisho kikiwa kutoka kwa Stoke City Jumamosi walipocharazwa 2-0.
Man United wameshindwa kupata ushindi katika michezo minane ya mashindano yote waliyoshiriki msimu huu. Hii ni mara ya kwanza klabu hiyo kufanya hivyo tangu mwaka 1990.
Klabu hiyo kwa sasa imo nambari sita kwenye jedwali na alama tano nyuma ya klabu iliyo nambari nne ligini.
Nemanja akimiliki mpira dhidi ya Morgan wa Manchester United
Giggs na Van Gaal
Meneja wa Chelsea Guus
Sir Alex Ferguson
Selfie...![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_vepst1tCId3giBMgubkwunxK12pK6dE1Xs2AV6CLM8yZE6xko4khAdCOmCu5GLfAojLwcUGlqTNx3HgYSgPb9sWsd4d8hKORsU_HMUuHQVlq5np0FjAqeAnsplJNIk9bKF-GgAp-kQeJR62hvbYgi_beQt_Kma4rvpYyYcfKxpGHdhq8SOtXk=s0-d)
John Obi alioneshwa kadi ya Njano
Kipa de Gea akiokoa mpira langoni mwake![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_s0U3ThRnFF2JRyArSz4LtuTlq5hq_T5badeH58F_PO8HXA57Y9sw10KcstmNPu3myTLI9EUy_EtbN_bZIt-sa5Gyq8qNYJlSCbaaLJlt5D1uCsLhKjpdIzqK8HR07VSyClDtGzxveBzxEl4EhsBQHnCQtDTRPduv1-QNucO6UtugqRJ7eYloQ=s0-d)
Van Gaal, anaamini anaungwa mkono na wachezaji na bodi pia.
"Mzozo uliopo sasa ni mazingira ambao nyingi (wanahabari) mmechangia," alisema meneja huyo.
"Wachezaji wamejitolea kupambana. Meneja amejitolea kupigana. Wakufunzi vilevile na bodi pia ina imani na wakufunzi na meneja."
Mashabiki
ndani ya Old Trafford wameshuhudia kwa mara ya kwanza Man United
ikitawala na kutandaza Soka safi lakini kushindwa kufunga na kupata
ushindi baada ya kutoka 0-0 na Mabingwa Watetezi Chelsea.
Man
United walitawala Mechi hii na kukosa nafasi ya kushinda ili kumpa
afueni Meneja wao Louis van Gaal ambae anasakamwa baada ya kutoshinda
katika Mechi 8 zilizokwisha vikiwemo vipigo vinne kabla ya Mechi hii.
chupuchupu!
Matic
ni Shidaaa kakosa nafasi kubwa ya kufunga bao ...pale alipokutana uso
kwa uso na kipa David de Gea, Katika kipindi cha pili.Kwa Chelsea Mechi
hii nayo ni Sare ya Pili mfululizo kwa Meneja mpya Guus Hiddink alietwaa
wadhifa baada ya kutimuliwa Jose Mourinho Wiki iliyopita.![](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_unrU9AzcsFZALbVZJzdLm5maLXcl2CC8CiQdaCIDhy7wdz7XpS7MAYRdxEQUL1NkUqrzV1ejstMe2dp4toiNDwNOwQmioXX4mSgtWsZji_o3ZAHe4FRL4NCxZF8FduilIgCawl9VXXnB8sV1ll7NRyRggf7DJMUqG9AqsBZNY0AFQ_wrJ4DfY=s0-d)
Martial kazini...
Kipindi cha kwanza kinaendelea....bado ni 0-0
Juan Mata kagonga mwamba wa Lango la Chelsea
Guus akitet jambo na Pedro!
Van Gaal akisalimia Mashabiki wa Man United kwa kuwapa Dole
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8M1-jwtRL7P2ZTs7xDL6j6oHOJ6a4DMifdJ848f2QzLpR5XPIVWdn98PRySZ0Yq8K2r9T-MPI-fQgfx0ZzLzwuXm0G4gN0cqWtleokAUrzx1gkmScS6mZTFjNahPQ085_F0McLbUo9TU/s640/MAN++U+V+CHELSEA.jpg)
VIKOSI:
Manchester United (4-2-3-1): De Gea; Darmian, Smalling, Blind, Young; Schneiderlin, Schweinsteiger; Mata, Herrera, Martial; Rooney.
AKIBA: Romero, Borthwick-Jackson, Jones, Carrick, Fellaini, Pereira, Depay.
Chelsea (4-2-3-1): Courtois; Ivanovic, Zouma, Terry, Azpilicueta; Mikel, Matic; Willian, Oscar, Pedro; Hazard.
AKIBA: Begovic, Baba Rahman, Djilobodji, Ramires, Loftus-Cheek, Traore, Kenedy.
Louis Van Gaal
Meneja wa Chelsea Guus
Giggs nyuma ni Meneja Van Gaal
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.
Akizungumza baada ya mchezo kumalizika Van Gaal alisema "kama wachezaji wanaweza kucheza kwa kiwango kile wakiwa kwenye shinikizo hakuna sababu ya kujizulu".
Kocha huyo amekua kwenye shinikizo kubwa ya kumtaka kujiuzulu kufuatia kikosi hicho kuchapwa michezo minne mfululizo kipigo cha mwisho kikiwa kutoka kwa Stoke City Jumamosi walipocharazwa 2-0.
Man United wameshindwa kupata ushindi katika michezo minane ya mashindano yote waliyoshiriki msimu huu. Hii ni mara ya kwanza klabu hiyo kufanya hivyo tangu mwaka 1990.
Klabu hiyo kwa sasa imo nambari sita kwenye jedwali na alama tano nyuma ya klabu iliyo nambari nne ligini.
Van Gaal, anaamini anaungwa mkono na wachezaji na bodi pia.
"Mzozo uliopo sasa ni mazingira ambao nyingi (wanahabari) mmechangia," alisema meneja huyo.
"Wachezaji wamejitolea kupambana. Meneja amejitolea kupigana. Wakufunzi vilevile na bodi pia ina imani na wakufunzi na meneja."
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8M1-jwtRL7P2ZTs7xDL6j6oHOJ6a4DMifdJ848f2QzLpR5XPIVWdn98PRySZ0Yq8K2r9T-MPI-fQgfx0ZzLzwuXm0G4gN0cqWtleokAUrzx1gkmScS6mZTFjNahPQ085_F0McLbUo9TU/s640/MAN++U+V+CHELSEA.jpg)
VIKOSI:
Manchester United (4-2-3-1): De Gea; Darmian, Smalling, Blind, Young; Schneiderlin, Schweinsteiger; Mata, Herrera, Martial; Rooney.
AKIBA: Romero, Borthwick-Jackson, Jones, Carrick, Fellaini, Pereira, Depay.
Chelsea (4-2-3-1): Courtois; Ivanovic, Zouma, Terry, Azpilicueta; Mikel, Matic; Willian, Oscar, Pedro; Hazard.
AKIBA: Begovic, Baba Rahman, Djilobodji, Ramires, Loftus-Cheek, Traore, Kenedy.
No comments:
Post a Comment