Pages

Wednesday, December 16, 2015

PAUL NONGA ATUA YANGA KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI


Yanga imekamilisha dili baada ya kumsajili Paul Nonga kutoka Mwadui FC.

Nonga amesaini mkataba wa miaka miwili
Mchezaji mwingine ambaye Yanga imefanikiwa kumsainisha mkataba ni Mniger Issoufou Garba ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja.

Endapo atafanikiwa kuwashawishi viongozi kwa kuonyesha kiwango kizuri, Garba anaweza kuongezewa mwaka mwingine.

No comments:

Post a Comment