Pages

Wednesday, April 22, 2015

RUFAA YA NDUMBARO MEI 10


Kikao hicho  kilipitisha taratibu za kisheria ambazo zitatumika kuamua kesi hiyo, ambazo ni taratibu kama zinazotumika mahakamani ikiwemo kuwasilisha  hoja kwa mdomo na si maandishi, kitendo ambacho kimekubaliwa na pande zote mbili.

Utaratibu huu umekua ukitumika katika mahakama za kawaida kuepusha manung'uniko kwa upande mmoja kulalamika umeonewa.

No comments:

Post a Comment