Shtaka hilo linafuatia mshikemshike iliyotokea uwanjani KC stadium baada ya mchezaji kiungo cha kati wa Sunderland Jack Rodwell alipolishwa kadi ya njano kwa kucheza visivyo na refarii Mike Dean.
Refarii alilazimika kuingilia kati kuwazua makocha hao wawili wasilishane makonde.
Mechi hiyo hatimaye iliishia sare ya moja kwa moja.
Makocha hao wawili wamesema kuwa ilikuwa tu ni joto la wakati huohuo.
No comments:
Post a Comment