Ronaldo, ambae ndie Nahodha wa Portugal, alifunga Bao hilo pekee dhidi ya Armenia katika Dakika ya 72 na kufikisha idadi yake ya Magoli ya Mashindano ya EURO kufikia 23 na kuwapita Jon Dahl Tomasson wa Denmark na Mchezaji wa Turkey Hakan Sukur waliokuwa na Bao 22 kila mmoja.
No comments:
Post a Comment