Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa, Katibu wa Kamati hiyo, Padri John Solomon (wa pili kulia), Mkurugenzi wa Tawi la Benki ya Kijitonyama, Lucas Busigazi (kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mchungaji George Fupe (wa pili kushoto).

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kushoto) akijaza fomu ya kufungua akaunti ya Junior Jumbo kwa ajili ya mtoto Daud Stephen (6) (katikati) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Wateja wa Benki iliyoanza jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles kimei akizungumza na waandishi wa habari.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhaj Mussa Salum akionyesha jezi namba 9 atakayoitumia katika mchezo huo.
Dk. Kimei akifurahia jambo wakati wa makabidhiano ya vifaa vya michezo kwa viongozi wa timu ya Kamati ya Amani na ushirikiano ikiwa ni maandalizi ya mechi baina ya viongozi wa madhehebu ya dini.

No comments:
Post a Comment