Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, November 29, 2013

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: BAYER LEVERKUSEN 0 vs MANCHESTER UNITED 5, UNITED YAUA UGENINI

Kikosi kilichoanza cha Manchester uniteddhidi ya Leverkusen huko Ujerumani leo usikuKocha wa Manchester United boss David Moyes akitoa maelekezo hapa Mchezaji wa Manchester United Antonio Valencia akishangilia bao lake Kocha wa zamani wa United Sir Alex Ferguson nae alikuwepo kwenye watazamaji kwenye UEFA Champions League Grupu A kati ya Bayer Leverkusen na Manchester United huko BayArena Ujerumani.Giggs akimpongeza Jonathan Evans baada ya kufunga bao kipindi cha pili dakika ya 65.Manchester United wakitandaza soka safi bila Mshambuliaji wao Van Persie huko Ujerumani BayArena wameifunga timu ya Bayer Leverkusen bao 5-0. Bao za United zimepatikana kipindi cha kwanza na cha pili. Bao la kwanza likifunguliwa na Antonio Valencia katika dakika ya 22, Bao la pili wakijifunga wao wenyewe kupitia mchezaji wao Emir Spahic katika dakika ya 30. Mchezaji Jonathan Evans akifunga bao safi la tatu dakika ya 65 kipindi cha pili baada ya mpira kutemwa kizembe kwenye eneo la box la lango la Bayer Leverkusen. Chris Smalling akifunga bao baada ya kupewa mpira kupitia kona iliyopigwa na Wayne Rooney  na kuuzima vizuri na kutupia katika dakika ya 77 na bao la tano likifungwa na mhezaji matata Nani katika dakika ya 88. Ushindi huu unawaweka pazuri kwa kuongoza kundi "A" wakiwa na alama 11.

Comfortable: Manchester United recorded an impressively easy victory against Bayer Leverkusen in Germany
Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya Smalling kufunga bao katika dakika ya 77 dhidi ya wenyeji Bayer Leverkusen huko Germany, United imeshinda kwa jumla ya mabao 5-0.
Brilliant: Wayne Rooney supplied four goals in a wonderful performance
Wayne Rooney pamoja na kutofunga leo ametoa pasi zilizosabaisha mabao manne leo hii!! kazi yake leo ilikuwa kusindikiza pasi safi zikiwemo kona!!Arriving: Antonio Valencia arrives at the back post to convert a measured Wayne Rooney cross to make it 1-0
Antonio Valencia ndie alieanza kuliona lango la wenyeji baada ya kupata krosi safi kutoka kwa Wayne Rooney na kufanya 1-0. 
Glance: Emir Spahic is unfortunate to score an own-goal as David Moyes' United team double their lead
 Emir Spahic kwenye patashika na kujifunga bao!
Making sure: Jonny Evans scored the third goal, turning in after a scramble from a corner
Jonny Evans (kushoto) akikimbizwa huku akishangilia bao lake
This one's his: Chris Smalling scored the fourth, with a simple tap-in at the back post
Chris Smallingakitupia la nne
Late goal: Nani latched on to a perfect Ryan Giggs pass to add a neatly taken fifth with just two minutes remaining
 Nani akitupia la mwisho la dfakika za lala salama dakika ya 88 na kufanya 5-0
Pats on the back: The United No 10 delivered the perfect ball for Valencia to score
Wakipongezana kwa kazi nzuri hapa !
VIKOSI:
Bayer Leverkusen: Leno, Spahic, Omer Toprak, Donati, Reinartz (Hegeler 70)  Rolfes, Bender (Kohr 81), Can, Castro, Son (Derdiyok 70), Kiessling.
Subs not used: Lomb, Stafylidis, Wollscheid, Kruse.
Booked: Kohr.
Manchester United: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra (Buttner 70), Giggs, Jones, Valencia (Young 80), Kagawa, Nani, Rooney (Anderson 80).
Subs not used: Lindegaard, Cleverley, Hernandez, Welbeck.
Goals: Valencia 22, Spahic (OG 30), Evans 65, Smalling 77, Nani 88.
Ref: Svein Oddvar Moen.
Man of the match:  Wayne Rooney

No comments:

Post a Comment