Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, September 26, 2013

RATIBA: LIGI CAPITAL ONE CUP RAUNDI YA NNE - ARSENAL vs CHELSEA, MAN UNITED vs NORWICH, NEWCASTLE vs MAN CITY

KLABU ya Arsenal itamenyana na wapinzani wao katika Jiji la London, Chelsea katika Raundi ya Nne ya Kombe la ligi la mtoano, maarufu kama Capital One Cup baada ya kuitoa West Brom kwa penalti 4-3 Uwanja wa Hawthorns jana usiku.


RATIBA KAMILI RAUNDI YA NNE CAPITAL ONE

Sunderland v Southampton
Leicester City v Fulham
Birmingham City v Stoke City
Manchester United v Norwich City
Burnley v West Ham United
Arsenal v Chelsea
Tottenham v Hull City
Newcastle v Manchester City
Manchester United baada ya kuwatoa wapinzan wao Liverpool, watamenyana na Norwich nyumbani katika Raundi ya Nne. 

Mechi zote zitachezwa Jumanne ya Oktoba 29 na Jumatano ya Oktoba 30.

No comments:

Post a Comment