
Hector Bellerin wa Arsenal akichuana na Hamit Altintop wa Galatasaray.
Bao la pekee la Gala lilifungwa dakika
za mwishoni dakika ya 88 na Wesley Sneijder na Arsenal nao walifunga
tena bao la mwisho dakika za majeruhi za nyongeza bao lao la 4 kupitia
kwa Lukas Podolski tena na mtanange kumalizika kwa 1-4.
Aaron Ramsey akimfunga kipa wa Gala Sinan Bolat bao la pili kwa Arsenal

Mchezaji wa Galatasaray Umut Bulut akichuana na kipa wa Arsenal Wojciech Szczesny langoni mwake.
No comments:
Post a Comment