Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, October 27, 2014

MANCHESTER UNITED NA CHELSEA ZATOKA SARE YA 1-1, ROBIN VAN PERSIE ASAWAZISHA BAO KATIKA MUDA WA NYONGEZA


Van Pesrsie alivua mpaka jezi!Van Persie Akisimamisha mashabiki Old Trafford baada ya kusawazisha bao!Van Persie akipongezwa baada ya kusawazisha bao dakika lala salama!1-1Van Persie akipongezwa mwishoni..na Marcos Roja, Fellaini na SmallingVan Persie akishangilia bao lake la dakika za lala salama zikiwa zimebaki dakika za nyongeza 4 tu mpira kumalizika na kuisaidia Man United kutoka sare ya 1-1 na kugawana pointi moja moja pia.Nimekukubali!!!!Kocha wa United Van Gaal

Van Persie akiwekwa kati! 
Robin van Persie aliifungia Manchester United Bao katika Dakika ya mwisho ya Dakika 4 za Majeruhi na kuipa Sare ya Bao 1-1 na Vinara wa Ligi Kuu England Chelsea.
Chelsea walitangulia kupata Bao kupitia Didier Drogba ambae alifunga kwenye Dakika ya 53 kwa Kichwa baada ya Kona ya Cesc Fabregas.

Ingawa Man United walimiliki zaidi Mpira na kulenga Mashuti mengi zaidi ya Chelsea lakini ule udhaifu wao wa Difensi, hasa kulinda Mipira ‘iliyokufa’ kumewagharimu kwa mara nyingine tena.
Angel Di Maria reacts after missing a chance
Huku Bango likiashiria zipo Dakika 4 za Nyongeza baada ya Dakika 90 kukamilika, Chelsea walibaki Mtu 10 katika Dakika ya 93 baada ya Branislav Ivanovic kulambwa Kadi ya Njano ya Pili kwa kumsukuma Angel Di Maria na kupewa Kadi Nyekundu.
Manchester United's Chris Smalling and Chelsea's Branislav Ivanovic collide in the box
Frikiki iliyofuatia ilipigwa na Angel Di Maria na kukikuta Kichwa cha Marouane Fellaini lakini Kipa Thibaut Courtois akaokoa na kumtemea Robin van Persie ambae alipachika Mpira wavuni na kuamsha shangwe kubwa Ndani ya Old Trafford.
Hata hivyo, Sare hii imewapaisha Chelsea kileleni wakiwa Pointi 4 mbele ya Timu ya Pili Southampton na Pointi 6 mbele ya Timu ya 3 Mabingwa Man City.
Chelsea's Didier Drogba scores his side's first goal
Man United wao wamebakia Nafasi ya 8 wakiwa Pointi 10 nyuma ya Chelsea.
Mechi inayofuata kwa Manchester United ni ule mtanange wa Dabi ya Manchester watakapotua Etihad kupambana na Mahasimu wao wakubwa Manchester City Jumapili Novemba 2.
Drogba akitingisha Nyavu za UnitedKipindi cha pili dakika ya 53 Didier Drogba anaunganisha mpira wa kona kwa kichwa na kutingisha nyavu za United kona ikipigwa na Cesc Fàbregas na kufanya 1-0 dhidi ya Man United.Van Persie chupuchupu afunge bao!Drogba akishangilia bao lake kwa aina yake!Drogba akipeta!!Nipishe!!!Didier Drogba akishangilia bao lake dhidi ya Man United Old Trafford.Van Persie chupuchupu afunge bao!Jose Mourinho(kulia) akilalamikia Mwamuzi kwa kupeta!Drogba akiwekwa chini ya UlinziVIKOSI:
Manchester United XI: 
De Gea, Rafael, Smalling, Rojo, Shaw, Blind, Fellaini, Januzaj, Di Maria, Mata, van Persie.
Chelsea XI
Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Felipe Luis, Fabregas, Matic, Willian, Oscar, Hazard, Drogba
Chelsea kuendelea kutema cheche tena leo?Diego Costa wenda akacheza kipindi cha pili!Radamel Falcao aliumia wenda hasicheze mtanange huu

No comments:

Post a Comment