Hii ni mara ya 4 kwa Man United kushindwa kuvuka hatua ya Makundi ya UCL baada ya Jana kuchapwa 3-2 na Wolfsburg na kushushwa Nafasi ya 3 ya Kundi B na hivyo kucheza Raundi ya Mtoano ya Timu 32 ya UEFA EUROPA LIGI.
Alisema: “Kwa sasa siwezi kujitetea lolote kwa sababu tumetupwa nje. Kila neno ntakalosema litakuwa si sahihi. Msimu huu kwenye Capital One Cup tulifika mbali, tulifuzu kuingia Makundi ya UCL na tupo nafasi nzuri kwenye Ligi. Tuko pazuri Zaidi kupita Mwaka Jana
No comments:
Post a Comment