
Willian akishangilia bao lake baada ya kuifunga Timu ya FC Porto ikiwa ni bao la pili

Jose Mourinho chini akiendesha mapambano ya kuwakumbusha wachezaji wake


Willian alifunga bao la pili kwa shuti kali

Diego Costa akipongezwa na Hazard

Diego aliachia shuti kali ambalo lilizaa bao la kujifunga wao wenyewe FC Porto mbele ya Mlinda mlango wao Casillas.

No comments:
Post a Comment