Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, September 24, 2014

LIVERPOOL YASONGA MBELE CAPITAL ONE CUP KWA PENATI 14-13 BAADA YA KUTOKA SARE YA 2-2 NA MIDDLESBROUGH

Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza kipa wao baada ya kushinda kwa mikwaju ya penati 14-13 usiku huu kwenye Capital One cup. Liverpool wamesonga hatua inayofuata na Middlesbrough ndio wameishia hapo.Liverpool players celebrate with Simon Mignolet after Liverpool edged the marathon penalty shootout 14-13Asante kipa wetu! 17-year-old Jordan Rossiter (L) leaps for joy after scoring the opening goal on his debut for Liverpool
Hata wa miaka 17 leo kacheza...ni Jordan Rossiter na kufanya Vyema!Jordan Rossiter ameifungia bao Liverpool dakika ya 10 kipindi cha kwanza na kufanya 1-0 dhidi ya Middlesbrough na kipindi cha kwanza kumalizika kwa bao hilo.
Dakika 90 zilimalizika 1-1 na kupongezwa dakika 30 za ziada na dakika ya 109 Suso akaifungia bao la pili Liverpool.
kwenye dakika 120 zikiwa zimeongezwa dakika mbili tu za majeruhi Middlesbrough wakapata penati na mkwaju huo wa penati kufungwa na Patrick Bamford na kusawazisha kuwa 2-2 na mtanange kwenda kwenye hatua ya mikwaju ya penati baada ya kumalizika kwa dakika 120 kwa sare.

ADOMAH alikosa mkwaju wa penati kwa kupaisha juu! Na hatimae LIVERPOOL kushinda kwa mikwaju 14-13 ya penati!! Na Mikwaju kuishia hapo!!

Balotelli nae alifunga penati mbili usiku huu
Rickie Lambert akifanya yake..

Rossiter kijana mdogo akiendesha leo..

Rossiter akishangilia..

Vijana wa Liverpool wakipongezana na kumpongeza dogo wao

Meneja Brendan Rodgers

 Adam Lallana akipambana na  Lee Tomlin

Mtanange ukiendelea kupamba moto!

Raheem Sterling akikimbia na  Kenneth Omeruo kuutafuta mpira..

No comments:

Post a Comment