Jose Mourinho akitazama mtanange kipindi cha kwanza huku akiwa mambo yake na alivyopanga yakiwa bado magumu.
Oscarakishangilia baada kuifungulia mlango Chelsea!
Oscar alivyoachia shuti golini na kuiwezesha timu ya Chelsea kushinda kuwaamsha mashabiki Stamford Bridge baada ya muda mrefu tangu kipindi cha kwanza baada ya Fullham kubana.
John Obi Mikel akimaliza ukame wake hapa baada ya kucheza mechi nyingi bila bao na hapa akitupia bao la ukweli!!
John Mikel akiambatana na wenzake kushangilia ushindi walioupata!
Jose Mourinho hakuwa na hamu pamoja na kushinda kwake hapa baada ya vipigo
Bosi wa Chelsea mwenye timu Roman Abramovich akijionea timu yake ikipata ushindi baada ya mwezi kupita bila ushindi.
Samuel Eto'o leo ameshindwa tena kuonesha cheche zake
John Terry kwenye patashika kusaidia timu ishinde
Branislav Ivanovic akiangushwa chini na Pajtim Kasami
Ramires, akijaribu kumkaba kwa nyuma Alexander Kacaniklic
Hazard akijaribu kufunga hapa na shuti lake kuelekea nje
RATIBA/MATOKEO
Jumamosi 21 Septemba
14:45 Norwich City 0 v 1 Aston Villa
17:00 Liverpool 0 v 1 Southampton
17:00 Newcastle United 2 v 3 Hull City
17:00 West Bromwich Albion 3 v 0 Sunderland
17:00 West Ham United 2 v 3 Everton
19:30 Chelsea 2 v 0 Fulham
Jumapili 22 Septemba
15:30 Arsenal v Stoke City
15:30 Crystal Palace v Swansea City
18:00 Cardiff City v Tottenham Hotspur
18:00 Manchester City v Manchester United
No comments:
Post a Comment