Ratiba hiyo, iliyoandaliwa na Kompyuta, ilitolewa leo huko Mjini Milan katika sherehe maalum.
Katika Msimu huu mpya zipo Dabi 5 za Miji ya Milan, Rome, Turin, Genoa na Verona lakini Ratiba zake zimehakikisha Mechi zake hazipangwi katikati ya Wiki kwa sababu za Kiusalama.
Pia, Klabu ambazo zimo Mashindano ya UEFA, CHAMPIONZ LIGI na EUROPA LIGI, zimetenganishwa zisikutane zile Wiki kabla ya Mechi zao za UEFA.
No comments:
Post a Comment