Bale anatarajiwa alipiwe £85m na Real Madrid kitu
ambacho kitakuwa ni Historia ya Dunia kwa Kwa kuuzwa kiasi hicho
kikubwa.Inasemekana pia Spurs wanataka kuongezewa wachezaji wawili tena pamoja
na dau hilo nono ambalo litaweka Historia.
Gareth Bale pia anatarajiwa kuongea na Klabu yake kuhusu uhamisho huo wa £85million kwenda kwenye Klabu ya Real Madrid
No comments:
Post a Comment