Mpaka mapumziko Brazil ilikuwa ikiongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Paraguay.
Kocha wa Brazil Dunga amewataka radhi na pole Mashabiki wa Brazil baada ya kutupwa nje.
Matokeo haya yanaifanya Paraguay, kwa mara ya pili mfululizo, kuitoa Brazil kwenye Mashindano haya, kwenye hatua hii hii, kwa Mikwaju ya Penati kwani Mwaka 2011 huko Argentina waliwabwaga Brazil kwa Penati 2-0 baada ya Brazil kukosa Penati zao zote 4.
Paraguay sasa wapo Nusu Fainali na watacheza na Argentina hapo Jumanne wakati Jumatatu ni Nusu Fainali nyingine kati ya Wenyeji Chile na Peru.
No comments:
Post a Comment