Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, November 24, 2017

IBRAHIM CLASS ATAFANIKIWA KUTETEA MKANDA WAKE LEO?

Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akimkabidhi kitabu kinachoonyesha vivutio tulivyonavyo Tanzania bondia Koo’s Sibiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Mabondia Ibrahim Maukola (kushoto) na Ibrahim Tamba (kulia) wakionyesha uwezo wao baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuonyesha pambano la ngumi kati yao kabla ya pambano la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Idara ya Michezo Bw. Yusuph Singo (kulia) akizungumza wakati wa kuwapima uzita mabodia Ibrahimu Class wa Tanzania na Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini wanaotarajia kupambana kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania akipima uzito kabla ya pambano la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini leo Jijini Dar es Salaam
Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini akipima uzito kabla ya pambano la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Ibrahimu Class wa Tanzania leo Jijini Dar es Salaam
Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akionyeshana uwezo na bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mabondia watakaopambana kabla ya pambano la ngumi la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.
Picha na Genofeva Matemu – WHUSM

No comments:

Post a Comment