Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, June 14, 2016

VIONGOZI WA PARALIMPIKI WAENDA MAREKANI KUPATA MAFUNZO YA MICHEZO YA WATU WENYE ULEMAVU


Baada ya kozi ya makocha ya Paralympic iliyokuwa ya mafanikio makubwa ikifadhiliwa na chuo kikuu cha kentucky cha nchin Marekani chini ya profesa Ben JOHNSON, hatimaye viongozi wa Paralympic Tanzania wamewasili salama nchini Marekani.
Viongozi hao watakuwa huko kwa muda kwa ajili ya kupata mafunzo maalumu ya uongozi wa michezo kwa walemavu
Kuna matarajio makubwa ya mafanikio kwa wanamichezo walemavu mara baada ya ziara hiyo

No comments:

Post a Comment