LUIS SUAREZ ATEMBELEA LIVERPOOL IKIJIANDAA KUIVAA MAN UNITED HIVI KARIBUNI
Licha
ya kutokuwepo tena katika klabu ya Liverpool, lakini ni dhahiri Luis
Suarez bado anaiweka klabu yake hiyo ya zamani karibu na moyo wake. Wakati
Barcelona haitocheza hadi jumamosi, mshambuliaji huyo raia wa Uruguay
ametumia muda huo kuitembelea Liverpool wakati ikijiandaa kuvaana na
Manchester United. Luis Suarez akifuatilia mazoezi ya timu ya Liverpool
No comments:
Post a Comment