Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, February 20, 2016

TASNIA YA MICHEZO YAPATA MSIBA

 
 
Habari wadau, kwa masikitiko makubwa naomba kuwajulisha kuwa mwanafamilia mwenzetu katika uandishi wa habari za michezo na burudani Fred Mosha ‘Mkuu’ amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa.
Naomba tushirikiane na familia katika kipindi hiki kigumu. Marehemu alikuwa akiishi Mbagala Saku kwa Mkongo, tutajulishana kadri nitakavyopata taarifa, lakini marehemu alikuwa akifanya kazi Redio Tumaini, hivyo naamini tutapata taarifa vizuri muda si mrefu.

Ahsanteni,
Katibu Mkuu TASWA
20/02/2016

No comments:

Post a Comment