Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, March 19, 2015

TIMU ZA ENGLAND ZAAGA UEFA CHAMPIONS LEAGUE BAADA YA MANCHESTER CITY KUONDOSHWA NA BARCELONA KWA BAO 1-0

Ivan akiwa na Messi wakishangilia bao pamoja na Neymar Dakika ya 31 kipindi cha kwanza Ivan Rakitić anaipatia bao la kwanza Barcelona baada ya kupata pasi kutoka kwa Messi na kufanya 1-0 dhidi ya City Camp Nou. Kipindi cha pili dakika ya 79 Man City walipata penati na Sergio Agüero aliikosa penati hiyo kwa kudakwa na kipa Ter Stegen.Bao...Ivan Rakitić akiwakutanisha pamoja Barca kupongezana bao1-0Suarez na Kampany wakichuana vikali kwenye Marudiano huko Camp Nou usiku huu.Kompany akiwa hoi baada ya Barca kupata bao la kwanzaBaadhi ya Wachezaji wa City wakiwa vichwa chini.Samir akioneshwa kadi ya njanoKikosi cha Timu ya Manchester City kilichoanza dhidi ya BarcaKikosi cha Barcelona kilichoanza.Viongozi wa Barca, Kati ni Louis Enrique Kocha Mkuu wa BarcelonaKocha wa City Manuel Pellegrin
VIKOSI:
Barcelona:
Ter Stegen, Dani Alves, Pique, Mathieu, Jordi Alba, Rakitic, Mascherano, Iniesta, Messi, Suarez, Neymar.
Akiba: Bravo, Xavi, Pedro, Rafinha, Bartra, Sergi Roberto, Adriano.
Manchester City: Hart, Sagna, Kompany, Demichelis, Kolarov, Nasri, Toure, Fernandinho, Milner, Silva, Aguero.
Akiba: Caballero, Zabaleta, Fernando, Dzeko, Bony, Jesus Navas, Lampard.
Refa: Gianluca Rocchi


Manchester City wana kibarua kigumu kusonga Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI kwa mara yao ya kwanza kabisa.
City Jumatano Usiku wapo Nou Camp kurudiana na Barcelona baada ya kuchapwa 2-1 na Barca wakiwa kwao Etihad Wiki 3 zilizopita katika Mechi ya kwanza. Kocha wa Barcelona Luis Enrique
Man City kupindua kichapo dhidi ya Barca

No comments:

Post a Comment