Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, February 26, 2015

ARSENAL YADUWAZWA NA AS MONACO KWA MABAO 3-1 KWENYE UEFA CHAMPIONS LEAGUE


2-0 Bao la pili la As Monaco lilifungwa na Berbatov dakika ya 53 na kuwaacha Arsenal wakiduwaa.2-0Ooops ..3-1

Mfungaji wa bao la tatu Yannick Ferreira Carrasco. Kipa wa Arsenal David Ospina akiwa hoi baada ya kushonwa baoFuraha ya Ushindi Ugenini!! 3-1Kiongozi Prince  Albert akishangilia Ushindi mwishoniOlivier Giroud akiwa hana hamu na kipute!
Hoi!! Hakuna cha Sanchez!!2-1Alex Oxlade akishangilia baada ya kurudisha bao moja Baadhi ya Wachezaji wa Arsenal wakipagawa baada ya kufungwa na As Monaco
Kipindi cha pili dakika ya 53 Dimitar Berbatov aliwachoma bao la pili Arsenal na kufanya 2-0 dhidi ya Arsenal. Dakika ya 90, Alex Oxlade-Chamberlain aliwapachika bao la pekee lakini Yannick Ferreira Carrasco aliyeingia kipindi cha pili alimaliza mchezo kwa kufunga bao la tatu na kufanya 3-1 hadi mchezo kumalizika.
Geoffrey Kondogbia salamu salaam akituma!!Arsenal hoi!!Kimagumashi tuu As Monaco wameichakaza Arsenal kwao!Geoffrey Kondogbia akishangilia bao lake baada ya kuichapa bao Arsenal katika dakika ya 38.
Prince Albert was in attendance to watch his beloved Monaco take a giant step toward reaching the quarter-finals of the competition
Prince Albert nae alikuwemo kipenzi cha Monaco..kwenye uwanja wa Emirates usiku huu!
The travelling fans were in good voice all night, with Monaco giving their supporters much to cheer about on the pitch
Mashabiki walisafiri kuja kuipa kampani ya Nguvu timu yao As Monaco kwenye Uwanja wa Emirates!!
A Monaco fan holds up a sign acknowledging the work of Arsene Wenger and Eric Di Meco for the French club
Mashabiki wa Monaco na Ujumbe wao, Shukrani zao
Geoffrey Kondogbia aliifungia bao dakika ya 38 kipindi cha kwanza na kufanya As Monaco kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Arsenal katika kipindi cha kwanza. Baada ya Per Mertesacker kuugusa mpira na kuuhamisha kuelekea kwa kipa wake David Ospina langoni. Hadi mapumziko Arsenal 0-1 As Monaco.Kikosi kilichoanza cha ArsenalAlex SanchezGeofrey akichuana na Cazorla Kondogbia akiachia shuti kaliKipa wa Monaco Danijel akipagawa kwa furaha kwa kuruka juu baada ya timu yake kushindaPongezi!!Wachezaji As Monaco wakipongezana .Kocha wa As Monaco Leonardo Jardim Ni Arsenal vs AS Monaco
VIKOSI:
Arsenal:
Ospina, Bellerin, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Coquelin, Cazorla, Sanchez, Ozil, Welbeck, Giroud.
Akiba: Szczesny, Gabriel, Rosicky, Walcott, Oxlade-Chamberlain, Monreal, Chambers.
Monaco: Subasic, Toure, Wallace Santos, Abdennour, Echiejile, Dirar, Kondogbia, Fabinho, Joao Moutinho, Martial, Berbatov.
Akiba: Stekelenburg, Kurzawa, Matheus Carvalho, Bernardo Silva, Carrasco, Alain Traore, Diallo.
Refa: Deniz Aytekin (Germany)


Nje ya Uwanja wa Arsenal Emirates.Kocha wa Monaco Leonardo JardimKocha wa Arsenal, Arsene Wenger.

No comments:

Post a Comment