Mshambuliaji
wa timu ya Barcelona Luis Suare ameunga mkono kitendo cha
mshambuliaji mwenzake wa timu ya taifa ya Uruguay Edinson Cavani kutaka
kuondoka katika timu ya PSG.
Suarez
amemueleza Cavani anajishusha mwenyewe kwa kukubali kuwa nyuma ya Zlatan Ibranimovic katika timu ya PSG.
Cavani
amekuwa akihusishwa kutaka kwenda kujiunga na timu za Arsenal, Manchester United, Liverpool wiki hii aliyekuwa mshambuliji wa
Liverpool Suarez amesema si kitu
kizuri kuona wanamchezesha Cavan katika nafasi tofauti na nafasi yake.
Paris
imefanya maisha kuwa magumu kwa Cavani ni bora aondoke.
No comments:
Post a Comment