Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, October 9, 2014

Luis Suarez apongeza kitendo cha Cavani kutaka kuondoka PSG



Mshambuliaji wa timu ya Barcelona Luis Suare ameunga mkono kitendo cha mshambuliaji mwenzake wa timu ya taifa ya Uruguay Edinson Cavani kutaka kuondoka katika timu ya PSG.
Suarez amemueleza Cavani anajishusha mwenyewe kwa kukubali kuwa nyuma ya Zlatan Ibranimovic katika timu  ya PSG.
Cavani amekuwa akihusishwa kutaka kwenda kujiunga na timu za Arsenal, Manchester United, Liverpool wiki hii aliyekuwa mshambuliji wa  Liverpool Suarez amesema  si kitu kizuri kuona wanamchezesha Cavan katika nafasi tofauti na nafasi yake.
Paris imefanya maisha kuwa magumu kwa Cavani ni bora aondoke.

No comments:

Post a Comment