![]() |
Lionel Messi na magoli 400 |
Mshambulizi wa Barcelona Lionel Messi amesema kuwa hakuwahi kufikiria kuwa atawahi kufunga mabao 400.
Mchezaji huyo aliyewahi kutwaa taji la mchezaji bora duniani mara nne aliwahi mabao mawili katika mechi yao dhidi ya Grenada vigogo hao wa ligi kuu ya Uhispania walipofunga mabao 6-0 .
Mshambulizi huyo wa Argentina alifunga mabao mawili ya 400- na 401.
No comments:
Post a Comment