Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, September 30, 2014

MESSI NOMA, AFIKISHA MABAO 400


Lionel Messi na magoli 400
Mshambulizi wa Barcelona Lionel Messi amesema kuwa hakuwahi kufikiria kuwa atawahi kufunga mabao 400.
Mchezaji huyo aliyewahi kutwaa taji la mchezaji bora duniani mara nne aliwahi mabao mawili katika mechi yao dhidi ya Grenada vigogo hao wa ligi kuu ya Uhispania walipofunga mabao 6-0 .
Mshambulizi huyo wa Argentina alifunga mabao mawili ya 400- na 401.

No comments:

Post a Comment